Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 26 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 336 | 2025-05-16 |
Name
George Ranwell Mwenisongole
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mbozi
Primary Question
MHE. GEORGE R. MWENISONGOLE aliuliza:-
Je, Sera ya Taifa ya Afya ya mwaka 2007 inayosema akina mama wajawazito watajifungua bure bila malipo bado ipo?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Sera ya Taifa ya Afya ya mwaka 2007 ipo na inatumika kutoa miongozo katika uendeshaji wa utoaji wa huduma za afya nchini. Hata hivyo, Wizara ipo katika hatua za mwisho za mapitio ya Sera ya Afya ya mwaka 2007. Hata hivyo, kuanza kutumika kwa Bima ya Afya kwa Wote itakuwa suluhisho la kudumu.
Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved