Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2025-2030 | Session 2 | Sitting 2 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 29 | 2026-01-28 |
Name
Kakulu Burchard Kakulu
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mbagala
Primary Question
MHE. KAKULU B. KAKULU aliuliza: -
Je, lini upanuzi wa Barabara ya Kilwa kuanzia Mbagala Rangi Tatu – Kongowe unatarajiwa kukamilika?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) iliingia mkataba na Mkandarasi M/S STECOL Corporation kwa ajili ya upanuzi wa Barabara ya Kilwa kuanzia Mbagala Rangi Tatu – Kongowe yenye urefu wa kilometa 3.8. Mkataba ulisainiwa tarehe 19 Agosti, 2025 na utatekelezwa kwa muda wa miezi 15. Kazi za ujenzi zinatarajiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka huu 2026.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved