Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2025-2030 Session 2 Sitting 2 Works and Transport Wizara ya Ujenzi 27 2026-01-28

Name

Rashid Abdallah Shangazi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mlalo

Primary Question

MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza:-

Je, lini Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya Mombo – Soni – Lushoto km 36 kama ilivyoahidi?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, Serikali imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya ukarabati kwa kiwango cha lami wa barabara ya Mombo hadi Lushoto yenye urefu wa kilometa 36. Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ukarabati wa barabara hiyo, ahsante.