Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 19 Sitting 53 Health and Social Welfare Wizara ya Afya 689 2025-06-25

Name

Grace Victor Tendega

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. FELISTA D. NJAU K.n.y. MHE. GRACE V. TENDEGA aliuliza:-
Je, nini mkakati wa Serikali kuhakikisha Wazee wanapata huduma za afya bila kikwazo?

Name

Dr. Godwin Oloyce Mollel

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Siha

Answer

NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu: -

Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imekamilisha Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, ambapo mara utekelezaji wake utakapoanza, utakuwa suluhisho katika kuwezesha makundi yote wakiwemo wazee kupata huduma pasipo kikwazo cha gharama.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha. (Makofi)