Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 19 Sitting 53 Works, Transport and Communication Wizara ya Ujenzi 682 2025-06-25

Name

Josephine Johnson Genzabuke

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE aliuliza: -

Je, lini Serikali itajenga Barabara ya kutoka Kasulu hadi Uvinza kwa kiwango cha lami?

Name

Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ileje

Answer

NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imekamilisha ujenzi wa sehemu ya Kasulu – Kanyani, kilometa 10. Aidha, upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Sehemu ya Kanyani hadi Uvinza Kibaoni, kilometa 60 umekamilika. Kwa sasa Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi, ahsante.