Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 45 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 580 | 2025-06-12 |
Name
Juliana Daniel Shonza
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. FESTO R. SANGA K.n.y. MHE. JULIANA D. SHONZA aliuliza: -
Je, lini ujenzi wa Barabara ya Mlowo – Kamsamba utaanza?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, taratibu za manunuzi ya mkandarasi, kwa ajili ya kuanza ujenzi wa kiwango cha lami wa kilometa tano kuanzia Mlowo kuelekea Kamsamba na nyingine tano kuanzia Kamsamba kuelekea Mlowo zipo katika hatua za mwisho (Negotiations). Taratibu za manunuzi zikikamilika na Mkandarasi wa ujenzi kupatikana, kazi ya ujenzi wa barabara hiyo utaanza. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved