Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 29 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 376 | 2025-05-21 |
Name
Husna Juma Sekiboko
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. RASHID A. SHANGAZI K.n.y. MHE. HUSNA J. SEKIBOKO aliuliza: -
Je, kipi chanzo mahsusi cha fedha za kugharamia huduma ya afya kwa mama mjamzito na mtoto chini ya miaka mitano?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sasa vyanzo mahsusi vya ugharamiaji wa huduma za Afya kwa akina mama wajamzito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano ni kupitia fedha za ndani pamoja na wadau wa maendeleo wanaochangia Bajeti ya Serikali.
Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved