Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 29 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 374 | 2025-05-21 |
Name
Antipas Zeno Mngungusi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Malinyi
Primary Question
MHE. ANTIPAS Z. MGUNGUSI aliuliza: -
Je, lini Serikali Itapeleka Magari kwa Jeshi la Polisi Malinyi ili liweze Kutoa Huduma Stahiki kwa Wananchi?
Name
Innocent Lugha Bashungwa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Karagwe
Answer
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, mwezi Septemba, mwaka 2023 Serikali kupitia Jeshi la Polisi iligawa gari moja jipya lenye namba za usajili PT 4851 Toyota Land Cruiser Pickup kwa Wilaya ya Malinyi, hivyo, kufanya wilaya hiyo kuwa na magari mawili ya Polisi yanayofanya kazi. Serikali inaendelea kutenga fedha kutoka kwenye bajeti yake kila mwaka wa fedha kwa ajili ya ununuzi vitendea kazi mbalimbali yakiwemo magari na kuyagawa kwenye mikoa na wilaya zote hapa nchini.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved