Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 46 | Lands, Housing and Human Settlement Development | Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi | 597 | 2025-06-16 |
Name
Sophia Hebron Mwakagenda
Sex
Female
Party
CHADEMA
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. CECILIA D. PARESSO K.n.y. MHE. SOPHIA H. MWAKAGENDA aliuliza: -
Je, lini Serikali itamwomba Mwekezaji wa Chai Rungwe kuachia ardhi ambayo haitumii kwa wananchi?
Name
Geophrey Mizengo Pinda
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kavuu
Answer
NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Shamba la Chai Rungwe lipo Kata ya Ilima na Bujela na linamilikiwa na Kampuni ya Mohamed Enterprises. Kwa kuwa shamba hili linamilikiwa kisheria na mwekezaji ambaye tayari ameliendeleza kwa kulima zao la chai, na kwa kuzingatia umuhimu wa sekta ya kilimo hususan uhitaji wa uwekezaji katika zao la chai, Serikali itahakikisha shamba hili linatumika ipasavyo.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved