Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 46 | Water and Irrigation | Wizara ya Maji | 595 | 2025-06-16 |
Name
Aloyce John Kamamba
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kakonko
Primary Question
MHE. ALOYCE J. KAMAMBA aliuliza: -
Je, lini Wilaya ya Kakonko itakuwa na Wakala wa Mamlaka ya Maji Mjini katika Mji wa Kakonko?
Name
Jumaa Hamidu Aweso
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Pangani
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI K.n.y. WAZIRI WA MAJI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi, Serikali imeanzisha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kakonko (KAUWASA) ambayo inahudumia Kata tano za Kakonko, Kasuga, Kanyonza, Kiziguzigu na Kasanda. Usimamizi wa utoaji huduma chini ya Mamlaka hiyo ulianza rasmi mwezi Septemba, 2024.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved