Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 46 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 589 | 2025-06-16 |
Name
Boniphace Nyangindu Butondo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kishapu
Primary Question
MHE. BONIPHACE N. BUTONDO aliuliza: -
Je, lini Serikali itatangaza tender ya ujenzi wa Km 20 kwa kiwango cha lami Barabara ya Kolandoto - Kishapu hadi Mwangongo?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara ya Kolandoto – Kishapu hadi Mwangongo yenye urefu wa kilometa 52.79 unatekelezwa kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha. Hadi sasa jumla ya kilometa 2.58 zimejengwa kwa kiwango cha lami katika Mji wa Mhunze (Kishapu). Aidha, Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa sehemu iliyobaki, ahsante. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved