Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 25 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 329 | 2025-05-15 |
Name
Rashid Abdallah Shangazi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mlalo
Primary Question
MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza: -
Je, lini Serikali itajenga upya barabara ya Mombo hadi Lushoto yenye kilometa 36 kwa kiwango cha lami ili kukidhi mahitaji ya sasa?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia TANROADS, imekamilisha Upembuzi Yakinifu na Usanifu wa Kina wa barabara ya Mombo – Lushoto yenye urefu wa kilometa 36 kwa ajili ya kuifanyia ukarabati mkubwa kwa kiwango cha lami. Kwa sasa Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ukarabati huu, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved