Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 25 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 325 | 2025-05-15 |
Name
Dorothy George Kilave
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Temeke
Primary Question
MHE. ZUBERI M. KUCHAUKA K.n.y MHE. DOROTHY G. KILAVE aliuliza: -
Je, kuna mpango gani wa kuongeza majengo katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Wizara inaendelea na maboresho ya miundombinu ya Hospitali za Rufaa za Mikoa Nchini ambapo kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke, Wizara inaendelea na maandalizi ya michoro ya usanifu kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Huduma za Kliniki za Kibingwa na Bima. Utekelezaji wa ujenzi wa jengo hilo unatarajiwa kuanza katika mwaka 2025/2026.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved