Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 42 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 545 | 2025-06-09 |
Name
Hussein Nassor Amar
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Nyang'hwale
Primary Question
MHE. HUSSEIN M. AMAR aliuliza: -
Je, lini Mshauri Elekezi atatangazwa kuanza kazi ya Upembuzi Yakinifu barabara ya Kahama – Kharumwa – Nyang’hwale hadi Busisi ambayo ni ahadi ya muda mrefu?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali tayari imempata Mhandisi Mshauri wa kufanya kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya kuijenga barabara ya Kahama – Kharumwa – Nyang’hwale hadi Busisi kwa kiwango cha lami. Taratibu za kusaini mkataba wa kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina zinaendelea, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved