Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 35 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 451 | 2025-05-29 |
Name
Dr. Alfred James Kimea
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Korogwe Mjini
Primary Question
MHE. DKT. ALFRED J. KIMEA aliuliza: -
Je, lini TANROADS itamalizia kuweka taa za barabarani katikati ya Mji wa Korogwe, kwenye Barabara Kuu itokayo Dar es Salaam hadi Arusha?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, zoezi la uwekaji wa taa za barabarani ni endelevu. Hadi sasa jumla ya taa 89 zimewekwa Mji wa Korogwe kwenye urefu wa jumla ya kilometa 2.67. Kwa sehemu iliyobaki ya kilometa 2.0, uwekaji wa taa utaendelea kulingana na upatikanaji wa fedha. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved