Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Name
Aisha Msantu Mduyah
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. AISHA M. MDUYAH aliuliza:- Je, lini Serikali itaridhia na kuanza utekelezaji wa Itifaki ya Afrika kuhusu Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol)?
Supplementary Question 1
MHE. AISHA M. MDUYAH: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante na sina swali la nyongeza, lakini naiomba tu Serikali iharakishe mchakato huu kwa maslahi mapana ya watu wenye ulemavu. (Makofi)
Name
Ummy Hamisi Nderiananga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, URATIBU NA WENYE ULEMAVU (MHE. UMMY H. NDERIANANGA): Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante, naomba niendelee kumpongeza Mheshimiwa Aisha kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya. Namhakikishia tumepokea ushauri na tutaendelea kuufanyia kazi kwa haraka, ahsante sana. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved