Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Supplementary Questions from Hon. Ghati Zephania Chomete (1 total)

MHE. GHATI Z. CHOMETE: Mheshimiwa Spika, ahsante sana kwa nafasi. Barabara ya Musoma – Makojo – Busekera ni muhimu sana kwa uchumi wa wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini. Je, ni lini sasa ujenzi huu utaendelea?
NAIBU WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Spika, barabara hii ilishapata kibali cha kuanza kujengwa na tuko kwenye hatua za mwisho kabisa za manunuzi ili barabara hiyo iweze kuanza kujengwa.