Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Supplementary Questions from Hon. Aisha Msantu Mduyah (1 total)

MHE. AISHA M. MDUYAH: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante na sina swali la nyongeza, lakini naiomba tu Serikali iharakishe mchakato huu kwa maslahi mapana ya watu wenye ulemavu. (Makofi)
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE, URATIBU NA WENYE ULEMAVU (MHE. UMMY H. NDERIANANGA): Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante, naomba niendelee kumpongeza Mheshimiwa Aisha kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya. Namhakikishia tumepokea ushauri na tutaendelea kuufanyia kazi kwa haraka, ahsante sana. (Makofi)