Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, naipongeza sana Serikali kwa kuweka askari wa JWTZ Manda, Ludewa. Kule ilikuwa ni mapito ya wageni wengi ambao nia zao zilikuwa hazijulikani. Askari wale wanafanya kazi kubwa na nzuri sana ya kulinda mpaka ule, hivyo naomba wapewe gari, boti kubwa na la kasi na watafutiwe eneo kubwa maeneo ya Lutala ili kianzishwe kikosi kamili cha jeshi Ludewa.