Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, vituo vya meli Ziwa Nyasa upande wa Ludewa tunaomba vibanda vya kupumzika abiria na vyoo. MV Songea ikarabatiwe ili ikahudumie wananchi Ziwa Nyasa, MV Mbeya iongeze safari Ziwa Nyasa walau kila wiki ili kuwaepushia wananchi hatari za kusafiri kwa mitumbwi na maboti ambayo mengine hayajahakikiwa ubora wake. Na pia Bandari ya Manda wananchi wa Igalu tunaomba walipwe fidia na ujenzi uanze.